Mjumbe Mkuu wa UM kwa Sudan, Ashraf Jehangir Qazi, ametangaza kukaribisha mwisho mzuri, wa utaratibu wa kusajili wapiga kura, kwa uchaguzi wa vyama vyingi, utakaofanyika nchini Sudan mwaka ujao. Asilimia 75 ya watu waliofikia umri wa kupiga kura walirajisiwa, sawa na raia wa Sudan milioni kumi na tano. Baina ya tarehe 1 Novemba mpaka Disemba 07 (2009), mamilioni ya watu walifanikiwa