Kadhalika Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF) limeripoti kwamba linaunga mkono, na kuahidi pia kuusaidia ule mradi ulioanzishwa na Wizara ya Utawala wa Sheria ya Rwanda, wa kuwapatia watoto 600 ziada waliomo vizuizini, mawakili wa kuwatetea kesi zao.