Chimbo la Ache nchini Indonesia limepiga hatua kubwa ya ujenzi mpya tangu kukumbwa na janga la tsunami miaka sita iliyopita. Hata hivyo ripoti ya Umoja wa Mataifa imeonya kwamba bado linakabiliwa na changamoto kubwa ya kuondoa umasikini, kuleta usawa na athari za majanga kwa siku zijazo.