Watu wapatao 90,000 wamearifiwa kuzikimbia nyumba zao eneo la Ben jimbo la Kivu ya Kaskazini nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo kufuatia operesheni za kijeshi baina ya serikali, wapiganaji wa kundi la FARDC na pia muungano wa jeshi la ukombozi Uganda ADF-NALU.