Wataalamu wawili wanaowakilisha mashirika yanayotetea haki za binadamu wametangaza taarifa ya pamoja, iloilaumu vikali Serikali ya Thailand, kwa kuwahamisha kwa nguvu, wahamiaji 4,000 wa makabila ya Hmong na kuwarejesha kwenye taifa jirani la Laos, bila ya idhini yao.