Wawakilishi zaidi ya 1,000 walio wenyeji wa asili, kutoka sehemu kanda mbalimbali za dunia, walikusanyika kuanzia mwanzo wa juma, katika Makao Makuu ya UM mjini New York, kuhudhuria kikao cha wiki mbili cha Tume ya Kudumu ya UM juu ya Haki za Wenyeji wa Asili.