Walinda amani kutoka Tanzania wanaohudumu katika kikundi cha TANZBATT-7 ambacho kiko katika kikosi cha kujibu mashambulizi, FIB, cha Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani DRC, MONUSCO, wametembelea na kutoa zawadi kwa watoto wa kituo cha Mungu ni mwema, Beni, DRC.