Sajili
Kabrasha la Sauti
Mataifa yanayoendelea yameshauriwa, miongoni mwa mambo mengine, kuwawezesha vijana na pia kuhakikisha usawa wa kijinsia ili kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu, SDGs.
Katika Jarida la Umoja wa Mataifa hii leo tunaanzia huko DR Congo, ukiukwaji wa haki za binadamu wafurutu ada.
Nchini Uganda, milipuko ya homa ya Kongo na Bonde la Ufa yarejea.