Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha kwa kauli moja azimio namba 2401 la usitishwaji wa mapigano kwa siku 30 katika eneo la Ghouta mashariki nchini Syria na mji mkuu Damascas, ili kupisha misaada ya kibinadamu.
Mataifa yanayoendelea yameshauriwa, miongoni mwa mambo mengine, kuwawezesha vijana na pia kuhakikisha usawa wa kijinsia ili kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu, SDGs.