Katika juhudi za kukabiliana ipasavyo usafirishaji haramu wa binadamu, Umoja wa Mataifa, kupitia shirika lake la kuhudumia wahamiaji, IOM na ofisi yake ya kudhibiti madawa ya kulevya na uhalifu, UNODC wamezindua juhudi mpya za pamoja za kukabiliana na uhalifu huo.