Shirika la Chakula na Kilimo (FAO) limehadharisha kwenye ripoti ya kuwa akiba ya majongoo wa pwani, au madondo, inaelekea kupungua ulimwenguni kwa kima cha kushtusha, hasa katika maeneo ya Afrika na kwenye Bahari ya Hindi ambapo uvuvi wa majongoo hawa imekiuka ada.