Shirika la Afya Duniani (WHO) limeanzisha mradi mpya utakaotumiwa kuwakinga wagonjwa dhidi ya hatari ya makosa wakati wanapopimwa afya, hasa ilivyokuwa mgonjwa mmoja katika kila wagonjwa 10 kwenye nchi zinazoendelea hudhurika kiafya, kwa sababu ya utambuzi wa maradhi usio sahihi.~