Ulemavu sio kulemaa tunachotaka ni kujumuishwa: Mbunge Mollel
Watu wenye ulemavu wanastahili kujumuishwa na kushirikishwa katika mchakato wa ajenda ya maendeleo endelevu SDG's ili ifikapo mwaka 2030 wasisalie nyuma umesema Umoja wa Mataifa katika kuadhimisha siku ya kimataifa ya watu wenye ulemavu.