Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UN haiwezi kusahau Pembe ya Afrika

Bi. Joyce Msuya, Msaidizi wa Katibu Mkuu wa UN na Naibu Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya dharura, OCHA katika mahojiano na UN News Kiswahili Aprili 2022 New York, Marekani.
UN/ Anold Kayanda
Bi. Joyce Msuya, Msaidizi wa Katibu Mkuu wa UN na Naibu Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya dharura, OCHA katika mahojiano na UN News Kiswahili Aprili 2022 New York, Marekani.

UN haiwezi kusahau Pembe ya Afrika

Msaada wa Kibinadamu

Ukame unaochochewa na mabadiliko ya tabianchi umesababisha watu takribani milioni 15 katika eneo la Pembe ya Afrika kukosa uhakika wa kupata chakula. Sasa Umoja wa Mataifa unafanya nini? Joyce Msuya, Msaidizi wa Katibu Mkuu na Naibu Mkuu wa OCHA anafafanua akianza kwa kueleza taswira ya njaa katika eneo hilo hususan Kenya, Ethiopia na Somalia.