Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Msiba huu umetuathiri sana, marehemu ni marafiki na wafanyakazi wenzetu - Joyce Msuya

Joyce Msuya, Kaimu Mkurugezi wa UNEP akiwa katika halfa ya kuwaenzi wafanya kazi wa UN waliopoteza maisha katika ajali ya ndege
UNEP
Joyce Msuya, Kaimu Mkurugezi wa UNEP akiwa katika halfa ya kuwaenzi wafanya kazi wa UN waliopoteza maisha katika ajali ya ndege

Msiba huu umetuathiri sana, marehemu ni marafiki na wafanyakazi wenzetu - Joyce Msuya

Masuala ya UM

Wakati maombolezo ya vifo vya wafanyakazi 21 wa Umoja wa Mataifa yakiendelea katika ofisi mbalimbali duniani kote, shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa mazingira UNEP, mjini Nairobi Kenya ni miongoni mwa mashirika ya Umoja wa Mataifa yaliyopata pigo la ajali hiyo.