Kazi ya Ulinzi wa amani ya UM imefikisha miaka 70.

Usalama katika UM unatendwa na askari pamoja na raia na polisi katika eneo ambalo halina usalama
Luteni Jenerali Leonard Ngondi, Kamanda wa kikosi cha UNAMID, wakati wa mahojiano na UN News Kiswahili.