Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Bidhaa za tumbaku lazima zidhibitiwe

Mkuu wa WHO Dr. Tedros Adhanom Ghebreyesus akiwa na Sarah Opendi (wa 3 kutoka kulia), waziri wa afya wa Uganda na wafanyakazi wengine wa WHO mjini Cape town Afrika Kusini wakati wa mkutano wa 17 wa kimataifa kuhusu bidhaa za tumbaku

Hawawezi kuuza bidhaa ambazo zinaletea watu shida. Tunataka uuzaji wa sigara moja moja upigwe marufuku.

Sarah Opendi
Mkuu wa WHO Dr. Tedros Adhanom Ghebreyesus akiwa na Sarah Opendi (wa 3 kutoka kulia), waziri wa afya wa Uganda na wafanyakazi wengine wa WHO mjini Cape town Afrika Kusini wakati wa mkutano wa 17 wa kimataifa kuhusu bidhaa za tumbaku

Bidhaa za tumbaku lazima zidhibitiwe

Afya

Bidhaa za tumbaku zinasababisha madhara mengi sana hususani kiafya. Shirika la afya duniani WHO sasa linataka kila nchi mwanachaka kuchukua hatua madhubuti kudhibiti hali hiyo kwa kuweka sheria na kuzitekeleza.