Mashirika mbalimbali ya serikali na kimatifa na watu binafsi walijitolea kusambaza msaada kwa njia zozote zile kwa kuwa miundombinu ya barabara ilikuwa iliparaganyika. Pichani usafiri wa pikipiki ulitumiwa kuwasafirisha watu kutoka mtaa mmoja hadi mwingine.
UN/Logan Abassi
Hapa ni moja ya maeneo ya mtaa wa Les Cayes nchini Haiti, taswira kutoka angani ikionyesha uharibifu wa nyumba baada ya kimbunga Matthew mwezi Oktoba mwaka 2016. Watu zaidi ya 1,000 walifariki dunia na maelfu walijeruhiwa, miliolni 1.4 wakihitaji msaada wa kibinadamu.
UN/Logan Abassi