Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mashariki ya Kati

Mashariki ya Kati

Kutokana na mashambulizi yanayoendelea Ukanda wa Gaza kwenye eneo la Palestina linalokaliwa na Israeli, familia zimeamua kusaka hifadhi kwenye shule zinazoendeshwa na UNRWA.Familia zikiwa zimesaka hifadhi katika shul
© UNICEF/Eyad El Baba

Jinamizi huko Gaza ni … janga la kibinadamu. Ni lazima tuchukue hatua sasa kutafuta njia ya kutoka kwenye ukatili huu, wa kutisha, na wenye uchungu utakaoishia kwenye uharibifu, kusaidia kumaliza maumivu na mateso, kusaidia kuponya walioathirika, na kusaidia kufungua njia ya amani, kwa suluhisho la serikali mbili ya Waisraeli na Wapalestina wanaoishi kwa amani na usalama.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres akizungumza na waandishi wa Habari mjini New York Marekani.