Gbagbo na Blé Goudé huru, Ntaganda ang’ang’aniwa
Mahakama ya rufaa ya mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai, ICC leo imetupilia mbali rufaa ya mwendesha mashtaka wa ICC dhidi ya uamuzi wa mahakama hiyo ya kuwaachi huru rais wa zamani wa Côte d'Ivoire Laurent Gbagbo na aliyekuwa mkuu wa vijana Charles Blé Goudé.