Kushika doria Mashariki mwa DRC si lele mama:Koplo Kapindi MONUSCO
Machafuko na mashambulizi ya waasi yanayofanywa mara kwa mara Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC hasa katika jimbo la Kivu Kaskazini wilaya ya Beni, yamekuwa mwiba sio tu kwa raia wa eneo hilo bali pia walindamani wa Umoja wa Mataifa wanaowajibika kushika doroa kutwa kucha.