Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Burundi

Watoto nchini Sudan Kusini wakiwa wamepanga foleni ili kupata maji ya kunywa kwenye kituo cha Umoja wa Mataifa cha ulinzi wa raia huko mjini Malakal nchini Sudan Kusini.
© UNICEF/Sebastian Rich

Shule nyingi duniani hazina maji safi na salama ya kunywa- Ripoti

Je shule anayosoma mwanao ina huduma za maji ya kunywa na vyoo? Au je shule uliyosoma iwe  ya awali, msingi au sekondari ilikuwa na huduma hizo muhimu za msingi? Ripoti ya kwanza kabisa inayofuatialia huduma hizo inaonyesha hali mbaya na ya kusikitisha. Kuna shule za msingi hazina kabisa vyoo, maji wala huduma za kujisafi.

Sauti
1'50"