Burundi imekiuka haki za binadamu kwa kiasi kikubwa-UN
Tume ya uchunguzi ya Umoja wa mataifa iliyopewa jukumu la kufuatilia ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Burundi, imesema kumekuwa na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu, nchini humo ikiwa ni pamoja na uhalifu dhidi ya ubinadamu, kati ya mwaka 2017 na 2018.