Lengo namba 13 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linataka uhifadhi wa mazingira kwa kuchukua hatua muafaka. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres akiwa ziarani katika nchi zilizoko ukanda wa pasifiki anapaza sauti ya kile kinachopaswa kufanywa kwa ubia ili kulinda sayari dunia kwa faida ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.
Mabadiliko ya Tabianchi
Kuna maeneo 15 yanayohitaji msaada wa dharura 2020:WFP
Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP leo limeainisha maeneo 15 ambayo yatahitaji msaada wa dharura na uwekezaji kwa mwaka huu wa 2020.
Mwaka 2014-2016
Desemba mwaka 2013 ukifunga pazia katika kijiji cha Meliandou nchini Guinea, mtoto Emile Ouamouno alifariki. Hii ilikuwa ni pigo kubwa kwa familia yake lakini kifo hicho kilikuwa na athari zaidi baada ya Emile kutajwa kama mgonjwa wa mwanzo kabisa wa ,mlipuko mbaya zaidi wa Ebola kuwahi kushuhudiwa.
Mwaka 2014-2016
Desemba mwaka 2013 ukifunga pazia katika kijiji cha Meliandou nchini Guinea, mtoto Emile Ouamouno alifariki. Hii ilikuwa ni pigo kubwa kwa familia yake lakini kifo hicho kilikuwa na athari zaidi baada ya Emile kutajwa kama mgonjwa wa mwanzo kabisa wa ,mlipuko mbaya zaidi wa Ebola kuwahi kushuhudiwa.
Zimbabwe iko katika hatihati ya janga la njaa:WFP
Zimbabwe iko katika hati hati ya janga la njaa limesema shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP likiongeza kuwa karibu watu milioni 8 sawa na nusu ya watu wote wa nchi hiyo hawana uhakika wa chakula.
WFP yasema Zimbabwe iko katika hatihati ya janga la njaa
Zimbabwe iko katika hati hati ya janga la njaa limesema shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP likiongeza kuwa karibu watu milioni 8 sawa na nusu ya watu wote wa nchi hiyo hawana uhakika wa chakula.
Zaidi ya watu milioni 168 kuhitaji msaada wa kibinadamu 2020:OCHA
Watu zaidi ya milioni 168 kote duniani mwaka 2020 watahitaji msaada wa kibinadamu na ulinzi katika migogoro inayoendelea kwenye nchi Zaidi ya 50 limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuratibu mimasuala ya kibinadamu na misaada ya dharura OCHA.
Ni muhimu COP25 imalize sintofahamu ya ibara ya sita ya Mkataba wa Paris-Inger Andersen
Mkutano wa 25 wa nchi wanachama wa mkataba wa kimataifa wa mabadiliko ya tabianchi, COP25 ukianza hii leo mjini Madrid, Hispania, Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Mpango wa mazingira wa Umoja wa Mataifa, UNEP Inger Andersen awali mjini New York Marekani kupitia mahojiano maalumu na UN News amesema moja ya vipaumbele vikuu vya mkutano huu itakuwa ni kufikia muafaka wa ibara ya sita ya mkataba wa Paris ambayo haikupata muafaka katika mkutano wa mwaka jana uliofanyika mjini Katowice Poland.
Bila kupunguza uchafuzi wa hali ya hewa kwa asilimia 7.6 lengo la nyuzi joto 1.5 halitafikiwa-Ripoti ya UNEP
Katika kuelekea mwaka ambao mataifa yataimarisha ahadi zao za ulindaji wa hali ya hewa zilizoafikiwa mjini Paris, ripoti mpya iliyotolewa hii leo mjini Geneva Uswisi na shirika la Mpango wa mazingira wa Umoja wa Mataifa, UNEP, imeonya kuwa, ulimwengu utashindwa kufikia lengo la nyuzi joto 1.5 la mkataba wa Paris ikiwa dunia haitapunguza hewa chafuzi kwa asilimia 7.6 kila mwaka kati ya mwaka 2020 na 2030.
Mahitaji ya kibinadamu Sudan ni makubwa na yanatia hofu:Lowcock
Mahitaji ya kibinadamu nchini Sudan ni makubwa na yanachangiwa na sababu mbalimbali amesema mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuratibu masuala ya kibinadamu na misaada ya dharura OCHA.
Maendeleo yanayojali mazingira ni muhimu Afrika:Guterres
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito kwa bara la Afrika kuhakikisha maendeleo yao yanakuwa safi na yanayojali mazingira.