Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mabadiliko ya Tabianchi

Mabadiliko ya Tabianchi
Ujumbe kutoka kwa Katibu Mkuu

Lengo namba 13 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linataka uhifadhi wa mazingira kwa kuchukua hatua muafaka. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio  Guterres akiwa ziarani katika nchi zilizoko ukanda wa pasifiki anapaza sauti ya kile kinachopaswa kufanywa kwa ubia ili kulinda sayari dunia kwa faida ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

UN Photo/David Mutua

Dunia inahitaji kuchukua hatua zaidi kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi-UNHCR

Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR, kesho Jumatano likifanya mkutano wa ngazi ya juu kushughulikia athari za mabadiliko ya tabianchi kwa wakimbizi na wakimbizi wa ndani, pamoja na wengine walio katika mazingira hatarishi kote, mshauri maalumu wa UNHCR kuhusu mabadiliko ya tabianchi Andrew Harper amesema dunia inapaswa kuchukua hatua kali zaidi kwani mabadiliko ya tabia nchi huwezi kuyavalia barakoa. 

Sauti
1'49"
UN News/ John Kibego

Wazee wazungumza historia ya mafuriko kwenye Ziwa Albert

Maelfu ya watu wanendelea kuathiriwa na mafuriko yanayoshuhudiwa katikaa meneo mbalimbali hasa yale ya Ziwani nchini Uganda.

Licha ya onyo kutoka kwa serikali na asasi za kiraia kuwa mafuriko haya yanaweza kuendelea, mpaka sasa baadhi ya watu wanahama mita chache wakiwa na matumaini kwamba maji haya yatapungua mambo yarejee kama kawaida.

Hata hivyo, watu wa asili kwenye Ziwa Albert wanaonya kuwa mambo bado kutokana na mfano kama huo ulioshuhudiwa na waliokuwepo miaka ya elfu moja kendamia sitini.

Sauti
3'58"
© UNDP Mauritania/Freya Morales

Janga la COVID-19 linajaribu hatua zilizopigwa katika maendeleo

Janga la corona au COVID-19 linabadili hatua zilizopigwa katika maendeleo na kuujaribu msingi wa amani ya kimataifa, lakini pia linatoa fiursa ya kushirikiana kuzisaidia serikali na jamii kujijenga vyema upya  umesema mkutano wa kimataifa ulioanza leo kwa njia ya mtandao mjini Roma Italia ukiwaleta pamoja wawakilishi wa Umoja wa Mataifa, taasisi za fedha za kimataifa, Muungano wa Afrika naserikali za Muungano wa Ulaya.

Sauti
2'34"
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres akizungumza na waandishi wa habari, New York.
UN Photo/Mark Garten)

Ushirikiano ndio jawabu pekee la kukabili changamoto za dunia hivi sasa:Guterres 

Janga la corona au COVID-19 linabadili hatua zilizopigwa katika maendeleo na kuujaribu msingi wa amani ya kimataifa, lakini pia linatoa fiursa ya kushirikiana kuzisaidia serikali na jamii kujijenga vyema upya  umesema mkutano wa kimataifa ulioanza leo kwa njia ya mtandao mjini Roma Italia ukiwaleta pamoja wawakilishi wa Umoja wa Mataifa, taasisi za fedha za kimataifa, Muungano wa Afrika naserikali za Muungano wa Ulaya.

Sauti
2'34"
Baadhi ya maeneo ya Niger yameharibiwa kutokana na matumizi mabaya ya ardhi yasiyo endelevu.
©FAO/Giulio Napolitano

IFAD yasaidia wanawake wa Mouradi, Niger kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi

Nchini Niger, mfuko wa maendeleo ya kilimo wa Umoja wa Mataifa, IFAD kwa kushirikiana na serikali unasaidia wazalishaji wadogo wa nafaka hususani vikundi vya wanawake katika eneo la Mouradi ambao mabadiliko ya hali ya hewa yameathiri sana maisha yao ili waweze kukabiliana na hali inayobadilika na pia majanga ya baadaye.

Sauti
2'40"