Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mabadiliko ya Tabianchi

Mabadiliko ya Tabianchi
Ujumbe kutoka kwa Katibu Mkuu

Lengo namba 13 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linataka uhifadhi wa mazingira kwa kuchukua hatua muafaka. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio  Guterres akiwa ziarani katika nchi zilizoko ukanda wa pasifiki anapaza sauti ya kile kinachopaswa kufanywa kwa ubia ili kulinda sayari dunia kwa faida ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

11 OKTOBA 2022

Katika Jarida la Habari za Umoja wa Mataifa hii leo Flora Nducha anakuletea

-Umoja wa Mataifa umeshtushwa na ongezeko kubwa la wakimbizi wa ndani huko magharibi kwa Jamhuri ya Kidemokrasia Congo DRC baada ya kuibuka kwa mapigano ya wenyewe kwa wenyewe mwezi Julai huko Kwamouth.

Sauti
10'44"