Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mabadiliko ya Tabianchi

Mabadiliko ya Tabianchi
Ujumbe kutoka kwa Katibu Mkuu

Lengo namba 13 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linataka uhifadhi wa mazingira kwa kuchukua hatua muafaka. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio  Guterres akiwa ziarani katika nchi zilizoko ukanda wa pasifiki anapaza sauti ya kile kinachopaswa kufanywa kwa ubia ili kulinda sayari dunia kwa faida ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

23 Mei 2022

Jaridani Jumatatu Mei 23, 2022 na Leah Mushi-

-UNHCR: Mzozo wa Ukraine na mingineyo imepelekea watu milioni moja kukimbia makwao

-Wakulima wa Embu Kenya wavalia njuga vita dhidi ya mabadiliko ya tabianchi kwa kupanda miti:IFAD 

-Katika makala ni mwanamke shuhuda kwamba ugonjwa wa Fistula una tiba.

Mashinani ni ujumbe wa Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu wahamiaji ulimwenguni

Sauti
16'54"