Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mabadiliko ya Tabianchi

Mabadiliko ya Tabianchi
Ujumbe kutoka kwa Katibu Mkuu

Lengo namba 13 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linataka uhifadhi wa mazingira kwa kuchukua hatua muafaka. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio  Guterres akiwa ziarani katika nchi zilizoko ukanda wa pasifiki anapaza sauti ya kile kinachopaswa kufanywa kwa ubia ili kulinda sayari dunia kwa faida ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

17 Desemba 2021

Karibu kusikiliza jarida, kama ilivyoada ijumaa tunakuleta mada kwa kina na hii leo ni kutoka katika taifa changa zaidi Afrika, Sudan Kusini huko tutasikia namna msanii wa uchoraji anavyoinua jamii yake hususan wanawake. 

pia utapata fursa ya kusikiliza habari kwa ufupi na kujifunza kiswahili 

Sauti
11'50"