Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mabadiliko ya Tabianchi

Mabadiliko ya Tabianchi
Ujumbe kutoka kwa Katibu Mkuu

Lengo namba 13 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linataka uhifadhi wa mazingira kwa kuchukua hatua muafaka. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio  Guterres akiwa ziarani katika nchi zilizoko ukanda wa pasifiki anapaza sauti ya kile kinachopaswa kufanywa kwa ubia ili kulinda sayari dunia kwa faida ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

CIFOR/Ollivier Girard

Mbinu za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi zaleta uhasama baina ya wakulima wavuvi na wafugaji

Wakati Mkutano wa 26 wa nchi wanachama wa mkataba wa mabadiliko ya Tabianchi COP26 ukiwa umemalizika mwishoni mwa wiki huko Scotland huku Afrika ikisema haijafanikiwa ilivyotaraji, huko nchini Cameroon mabadiliko ya tabianchi yameleta uhasama baina ya wafugaji, wakulima na wavuvi, sababu kubwa ya ugonvi huo ni mbinu walizobuni za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.

Sauti
2'44"

16 Novemba 2021

Karibu kusikiliza jarida ambapo leo Assumpta Massoi anakuletea habari mbalimbali ikiwemo mgogoro wa wananchi huko Cameroon baada ya kubuni mbinu za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.

Ripoti mpya iliyotolewa leo na shirika la afya la Umoja wa Mataifa inaonyesha kwamba idadi ya watumiaji wa bidhaa za tumbaku duniani imepungua kwa zaidi ya watu milioni mbili.

Sauti
13'11"
Watu huyakimbia makazi yao mara kwa mara kaskazini-mashariki mwa Cameroon kutokana na migogoro.
UN Photo/Eskinder Debebe)

Mbinu za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi zaleta mapigano nchini Cameroon

Wakati Mkutano wa 26 wa nchi wanachama wa mkataba wa mabadiliko ya Tabianchi COP26 ukiwa umemalizika mwishoni mwa wiki huko Scotland huku Afrika ikisema haijafanikiwa ilivyotarajia, huko nchini Cameroon mabadiliko ya tabianchi yameleta uhasama baina ya wafugaji, wakulima na wavuvi, sababu kubwa ya ugomvi huo ni mbinu walizobuni za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.

Sauti
2'44"