Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mabadiliko ya Tabianchi

Mabadiliko ya Tabianchi
Ujumbe kutoka kwa Katibu Mkuu

Lengo namba 13 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linataka uhifadhi wa mazingira kwa kuchukua hatua muafaka. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio  Guterres akiwa ziarani katika nchi zilizoko ukanda wa pasifiki anapaza sauti ya kile kinachopaswa kufanywa kwa ubia ili kulinda sayari dunia kwa faida ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

17 JUNI 2020

Katika Jarida la Habaroi hii leo kutoka Umoja wa Mataifa Flora Nducha anakuletea

-  Bei ya chajo ya homa ya vichomi au  ‘Numonia’ imeshuka, na kuleta ahueni kwa nchi maskini umesema leo Umoja wa Mataifa

-Ikiwa leo ni siku ya kukabiliana na ongezeko la jangwa na ukame duniani Umoja wa Mataifa umeitaka dunia kuchukua hatua kulinda sayari tunayoishi kwani afya ya binadamu inategemea afya ya sayari hii

Sauti
9'58"