Lengo namba 13 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linataka uhifadhi wa mazingira kwa kuchukua hatua muafaka. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres akiwa ziarani katika nchi zilizoko ukanda wa pasifiki anapaza sauti ya kile kinachopaswa kufanywa kwa ubia ili kulinda sayari dunia kwa faida ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.
Mabadiliko ya Tabianchi
Mikutano 5 ya kuifuatilia wakati wa UNGA74
Ni mwaka mwingine na wakati mwingine na fursa nyingine ambapo macho na masikio ya dunia yanaelekezwa jijini New york kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa , wakati viongozi wa dunia wakiwasili kushiriki kwenye mjadala mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa au UNGA.
Umoja wa Mataifa waungana na dunia kuadhimisha siku ya kulinda tabaka la ozoni
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema dunia inapojikita katika kupambana na mabadiliko ya tabianchi basi isipuuze tabaka la Ozoni na kuwa na tahadhari ya tishio kubwa linalosababishwa na matumizi haramu ya gesi zinazotoboa tabaka la Ozoni au chlorofluorocarbons.“utambuzi wa hivi karibuni wa utoaji wa moja ya gesi hizo (CFC-11) unatukumbusha kwamba tunahitaji kuendelea na mifumo ya kufuatilia , kutoa taarifa, kuboresha na kuchukua hatua.”
Vijana Kenya wajiandaa ujumbe wao katika mkutano wa hatua dhidi ya mabadiliko ya tabianchi
Huku dunia ikikumbwa na changamoto zinazotakana na mabadiliko ya tabianchi harakati zinafanywa kuweza kukabiliana na athari zozote ambazo zinaweza kuibuka siku za usoni.
Vijana kutoka Kenya wafanya mkutano wa maandalizi ya mkutano wa hatua dhidi ya mabadiliko ya tabianchi
Huku dunia ikikumbwa na changamoto zinazotakana na mabadiliko ya tabianchi harakati zinafanywa kuweza kukabiliana na athari zozote ambazo zinaweza kuibuka siku za usoni.
Tunapokabiliana na mabadiliko ya tabianchi tusipuuze tabaka la Ozoni-Guterres
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema dunia inapojikita katika kupambana na mabadiliko ya tabianchi basi isipuuze tabaka la Ozoni na kuwa na tahadhari ya tishio kubwa linalosababishwa na matumizi haramu ya gesi zinazotoboa tabaka la Ozoni au chlorofluorocarbons.“utambuzi wa hivi karibuni wa utoaji wa moja ya gesi hizo (CFC-11) unatukumbusha kwamba tunahitaji kuendelea na mifumo ya kufuatilia , kutoa taarifa, kuboresha na kuchukua hatua.”