Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mabadiliko ya Tabianchi

Mabadiliko ya Tabianchi
Ujumbe kutoka kwa Katibu Mkuu

Lengo namba 13 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linataka uhifadhi wa mazingira kwa kuchukua hatua muafaka. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio  Guterres akiwa ziarani katika nchi zilizoko ukanda wa pasifiki anapaza sauti ya kile kinachopaswa kufanywa kwa ubia ili kulinda sayari dunia kwa faida ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

ILO/Marcel Crozet

Afrika yahitaji mbinu za mnepo kukabili mabadiliko ya tabianchi

Mbinu za kujengea jamii mnepo katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi lazima ziimarishwe, wamesema washiriki wa mjadala wa ngazi ya juu kuhusuuhakika wa upatikanaji wa chakula  Afrika ulioandaliwa na serikali ya Rwanda mjini Kigali kwa ushirikiano na shirika la chakula na kilimo duniani, FAO, kamisheni ya Muungano wa Afrika, Benki ya maendeleo Afrika, mfuko wa kimataifa wa maendeleo ya kilimo, IFAD  na Benki ya Dunia. Taarifa zaidi na Arnold Kayanda.

Sauti
2'28"
Mkulima karibu na mji wa Kisumu nchini Kenya akilima shamba lake.
World Bank/Peter Kapuscinski

 Mbinu za kujengea jamii mnepo zinahitajika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi Afrika-FAO

Mbinu za kujengea jamii mnepo katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi lazima ziimarishwe, wamesema washiriki wa mjadala wa ngazi ya juu kuhusuuhakika wa upatikanaji wa chakula  Afrika ulioandaliwa na serikali ya Rwanda mjini Kigali kwa ushirikiano na shirika la chakula na kilimo duniani, FAO, kamisheni ya Muungano wa Afrika, Benki ya maendeleo Afrika, mfuko wa kimataifa wa maendeleo ya kilimo, IFAD  na Benki ya Dunia. Taarifa zaidi na Arnold Kayanda.

Sauti
2'28"