Lengo namba 13 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linataka uhifadhi wa mazingira kwa kuchukua hatua muafaka. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres akiwa ziarani katika nchi zilizoko ukanda wa pasifiki anapaza sauti ya kile kinachopaswa kufanywa kwa ubia ili kulinda sayari dunia kwa faida ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.
Mabadiliko ya Tabianchi
Mabadiliko ya Tabianchi
Ujumbe kutoka kwa Katibu Mkuu
IFAD yawajenga mnepo wakulima nchini Ethiopia.
Zaidi ya watu bilioni moja kote duniani wanaishi katika maeneo ambayo yana uhaba mkubwa wa maji, na watu wengine wapatao bilioni 3.5 watakabiliwa na changamoto kubwa ya uhaba wa maji ifikapo mwaka 2025 kwa mujibu wa takwimu za shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO na shirika la maendeleo ya kilimo IFAD.
24 Juni 2019
Katika Jarida la Habari hii leo Assumpta Massoi anakuletea
-Baraza la Haki za binadam laanza geneva kamishina Mkuu Michelle Bachelet ataka Cameroon tambueni wapinzani kama wadau wa mchakato wa amani
-Balozi mwema mpya wa UNHCR Mercy Masika asema atatumia kipaji chake kukirimu wakimbizi Kenya na kwingineko
-Kuwasaidia wakimbizi na wenyeji wao, ni njia nzuri ya kuwahudumia watu waliotawanywa Uganda yasema Benki ya Dunia