Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mabadiliko ya Tabianchi

Mabadiliko ya Tabianchi
Ujumbe kutoka kwa Katibu Mkuu

Lengo namba 13 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linataka uhifadhi wa mazingira kwa kuchukua hatua muafaka. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio  Guterres akiwa ziarani katika nchi zilizoko ukanda wa pasifiki anapaza sauti ya kile kinachopaswa kufanywa kwa ubia ili kulinda sayari dunia kwa faida ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

03 Disemba 2018

Katika Jarida la Habari la Umoja wa Mataifa leo Siraj Kalyango anaangazia

-Kuanza kwa mkutano wa kimataifa wa mabadiliko ya tabia nchi COP 24, Umoja wa Mataifa ukihizima ufadhili na kasi ya kupambana na mabadiliko hayo

-Siku ya Kimataifa ya watu wenye ulemavu , je ni yapi yanayomkabili mtu anayeishi na ulemavu? tutabisha hodi Kagera Tanzania

-Ngozi ya samaki aina ya sangara mali kubwa nchini Kenya kulikoni

-Makala tunaendelea na ibara za tamko la haki za binadamu leo ni ibara ya 23 ikiangazia haki za wafanyakazi wa ndani

Sauti
14'42"