Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

“Sauti ya Mama Mukongomani” inamuwezesha na kumlinda mwanamke wa DR Congo: Nelly Mbangu

“Sauti ya Mama Mukongomani” inamuwezesha na kumlinda mwanamke wa DR Congo: Nelly Mbangu

Pakua

Hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa kwenye Kikao cha Kamisheni ya Hali ya wanawake duniani CSW70, Flora Nducha wa Idhaa hii anazungumza na mshiriki Nelly Mbangu Lumbulumbu, mwanasheria na mwanaharakati wa Haki za binadamu kutoka Jamhuri ya Kidemokrasa ya Congo DRC, ambaye ni mwanzilishi na mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la “Sauti ya Mama Mukongomani” lililoanzishwa mwaka 2008, anaanza kwa kumueleza kwa nini alinzisha shirika hilo.

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
5'58"
Photo Credit
UN News