Jifunze Kiswahili: Maana ya neno KUTOHOA
Pakua
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo mchabuzi wetu Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa, BAKITA nchini Tanzania, anachambua neno KUTOHOA.
Audio Credit
Onni Sigalla
Audio Duration
1'16"