Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

13 JUNI 2025

13 JUNI 2025

Pakua

Katika Jarida la Umoja wa Mataifa leo Flora Nducha anakuletea

  • Umoja wa Mataifa walaani vikali mashambulizi ya Israel dhidi ya vinu vya nyuklia Jamhuri ya Iran
  • Huko Ituri Mashariki mwa DRC walinda amani wa Mpango wa Umoja wa Mataifa MONUSCO watoa huduma za afya kwa wananchi
  • Leo ni siku ya kimataifa ya kuelimisha umma kuhusu watu wenye Ualibino katika makala utamsikia mbunge kmwenye ualibino kutoka nchini Tanzania
  • Na mashinani utasiki ujumbe wa nini kifanyike kuhakikisha ndoto za watu wenye ulemavu zinatimia Afrika
Audio Duration
11'7"