Jifunze Kiswahili: maana ya neno KIHEREHERE
Pakua
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno KIHEREHERE.
Audio Credit
Dkt. Mwanahija Ali Juma
Sauti
45"