Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Zanzibar tumetekeleza kwa vitendo azimio la Beijing: Waziri Riziki Pembe

Zanzibar tumetekeleza kwa vitendo azimio la Beijing: Waziri Riziki Pembe

Pakua

Wakati mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake Duniani CSW69 ukifikia ukingoni mshiriki kutoka Zanzibar Tanzania ameweleza Flora Nducha wa Idhaa hii ya Kiswahili kwamba Zanzibar imepiga hatua kubwa katika usawa wa kijinsia na utekelezaji kwa vitendo matakwa ya Azimio la Beijing la usawa wa kijinsia na hatua. Je wametekeleza vipi na hatua gani walizopiga? Ungana nao katika mahojiano haya.

Audio Credit
Anold Kayanda
Audio Duration
5'39"
Photo Credit
UN News/Sharon Jebichii