Jifunze lugha ya Kiswahili: Tofouti ya maneno Yeyote na Yoyote
Pakua
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili tuaelekea visiwani Zanzibar nchini Tanzania ambako mchambuzi wetu Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili la Zanzibar, BAKIZA anafafanua matumizi ya maneno Yeyote na Yoyote, karibu!
Audio Credit
Dkt. Mwanahija Ali Juma
Audio Duration
1'18"