Jifunze Kiswahili: SAKARANI
Pakua
Leo katika kujifunza Kiswahili tunapata ufafanuszi wa neno "SAKARANI" na mtaalam wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA.
Audio Credit
Onni Sigalla
Audio Duration
50"