Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Methali: Usigombane na mkwezi, nazi imeliwa na mwezi

Methali: Usigombane na mkwezi, nazi imeliwa na mwezi

Pakua

Na leo katika kujifunza Kiswahili, mchambuzi wetu ni Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA, anatufafanulia maana ya methali "Usigombane na mkwezi, nazi imeliwa na mwezi", karibu!  

 

 

Audio Credit
Assumpta Massoi/Dkt Mwanahija Ali Juma
Audio Duration
2'
Photo Credit
UN