29 AGOSTI 2022
Pakua
Flora Nducha anakuletea jarida lililo sheheni habari mbalimbali kuanzia nchini Ethiopia ambapo tume ya Kimataifa ya wataalamu wa Haki za binadamu nchini Ethiopia imekasirishwa na kuzuka upya kwa uhasama kati ya serikali ya Ethiopia na chama cha Tigray People's Liberation Front tangu wiki iliyopita na kuzitaka pande zote mbili kurudi kwenye meza ya mazungumzo kwani wanaoteseka ni raia.
Wakimbizi wa Burundi wakioko katika kambi ya Nyarugusu mkoani Kigoma nchini Tanzania wameshukuru kwa watoto wao kupatiwa vyeti vya kuzaliwa
Makala leo utasikia kutoka kwa wafanyabiashara wa Afrika Mashariki wanaoneshiriki maonesho mkoano Mwanza
Na Mashinani tunaangazia COVID-19 nchini Uganda.
Karibu!
Audio Credit
Flora Nducha
Sauti
10'26"