Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

01 Julai 2022

01 Julai 2022

Pakua

Hii leo jarida limejikita katika suala la Kiswahili kuwa lugha ya kimataifa na kuelekea kilele cha maadhimisho tarehe 7 Julai mwaka huu wa 2022. Utasikia mkazi wa Zanzibar akitoa maoni yake, halikadhalika mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Makerere nchini Uganda na kisha mashinani mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi. Lakini kumbuka mkutano wa Bahari umefunga pazia hii leo huko Lisbon, Ureno na aliyemwakilisha Katibu Mkuu amesema kile kitakachofuatia, changamoto na fursa. Karibu na mwenyeji wako ni Assumpta Massoi.

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
9'58"