30 JUNI 2022
Pakua
Hii leo jaridani Assumpta Massoi pamoja na Habari kwa ufupi kuhusu Ndui ya Nyani au Monkeypox anamulika pia kiswahili nchini Burundi. Je wafahamu miiko iliyokwamisha kiswahili kuchanua nchini Burundi? Basi Doretee Nshimimana, Mwalimu wa Kwanza wa kiswahili kwenye Vyuo Vikuu Burundi amezungumza na Edouige Emerusenge wa televisheni washirika Mashariki TV na kutanabaisha. Na katika Kiswahili tunafahamishwa maana ya neno, Msagaliwa !! Karibu!
Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
12'20"