Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

24 Juni 2022

24 Juni 2022

Pakua

Hii leo jaridani, Leah Mushi anamulika:
1.    Chuo cha sanaa Kivu, AKA huko Goma jimboni Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC na harakati za kutumia uchoraji wa kuta ili kuepusha vijana na ghasia sambamba na kulinda mazingira.
2.    Nchini Mauritania IFAD imeleta nuru kwa wakulima waliokosa mvua
3.    Makala tunakwenda Kigali, Rwanda kwenye mkutano wa viongozi wa nchi za Jumuiya ya Madola ambako kijana Paul Siniga kutoka Tanzania amewakilisha vijana.
4.    Mashinani, tunakwenda Kilifi nchini Kenya kumulika harakati za kulinda baharí, Karibu!
 

Audio Credit
Leah Mushi
Audio Duration
11'49"