Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Watoto watumikishwao DRC wapaza sauti zao

Watoto watumikishwao DRC wapaza sauti zao

Pakua
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC watoto wenye umri wa chini ya miaka 18 wanatumikishwa kwenye kazi mbalimbali ikiwemo uchimbaji madini, ujenzi wa nyuma, na hata sokoni kwa lengo la kukidhi mahitaji ya familia za kutokana na hali ya umaskini. Mashirika ya kutetea hali ya watoto yanachukua hatua kusihi serikali kuhakikisha sheria za kumlinda mtoto zinazingatiwa ikiwemo kwenye machimbo ya madini. Lakini hali iko vipi , mwandishi wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa huko DRC, Byobe Malenga amevinjari kwenye mji wa Bukavu jimboni Kivu Kusini ili kujionea hali halisi.
Audio Credit
Anold Kayanda/Byobe Malenga
Sauti
3'20"
Photo Credit
© UNICEF/Patrick Brown