15 Juni 2022
Pakua
Jaridani Jumatano, Juni 15, 2022 na Leah Mushi
-Shida na changamoto nyingi zinazowakumba wanawake ni kutokana na mfumo dume na uchu wa madaraka: Guterres
-Mtoto asimulia safari ya Bunagana hadi Rutshuru nchini DRC
-Makala inamulika changamoto na jitihada za kufikia lengo la huduma za afya kwa wote nchini Tanzania kabla ya ukomo wa malengo ya maendeleo endelevu SDGs.
-mashinani tutaelekea katika Wilaya ya Kaabong, Mkoa wa Karamoja nchini Uganda kumsikiliza kijana aliyekuwa mchunga ng’ombe na sasa ameianza safari ya kuisaka elimu
Audio Credit
Leah Mushi
Audio Duration
11'53"