Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mkutano wafanyika kati ya walinda amani na viongozi wa jamii katika harakati za kuimarisha usalama

Mkutano wafanyika kati ya walinda amani na viongozi wa jamii katika harakati za kuimarisha usalama

Pakua

Kuelekea siku ya kimataifa ya walinda amani wa Umoja wa Mataifa na katika kuendeleza jukumu la ulinzi wa amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo,  vikosi vya ulinzi wa amani kutoka Tanzania yaani TANZBATT 9 na kikosi cha utayari TANZANIA QRF2 vimefanya kikao cha Urafiki baina yao na uongozi wa raia wa nchi hiyo katika maeneo ya uwajibikaji wa vikosi hivyo.

Audio Credit
Leah Mushi/Denisia Lihaya
Audio Duration
3'17"
Photo Credit
© MONUSCO