Wanawake wanaotumia intaneti ni asilimia 57 tu duniani ikilinganishwa na asilimia 62 ya wanaume-ITU
Pakua
Katika kuadhimisha siku ya kimataifa ya wasichana katika tasnia ya Habari na teknolojia ya mawasiliano ICT muungano wa kimataifa wa mawasiliano ITU umesema fursa na usalama mtandaoni ambayo ndio maudhui ya siku ya mwaka huu ni ufunguo wa kukiingiza kizazi kijacho cha wasichana katika Habari na teknolojia ya mawasiliano.
Audio Credit
Leah Mushi/ Flora Nducha
Audio Duration
2'50"