Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wazazi wasione aibu kuwaelimisha watoto kuhusu afya ya uzazi - Tumaini Community Services Mbeya Tanzania

Wazazi wasione aibu kuwaelimisha watoto kuhusu afya ya uzazi - Tumaini Community Services Mbeya Tanzania

Pakua

Nchini Tanzania, Shirika la Tumaini Community Services linatekeleza mradi wa ‘Dreams’ yaani ‘Ndoto’ katika wilaya ya Mbeya mjini, Kyela na Mbarari mkoani Mbeya kwa ufadhili wa mfuko wa rais wa Marekani wa harakati za kupambamba na UKIMWI, PEPFAR kanda ya Tanzania, lengo likiwa kuwawezesha vijana balehe elimu ya afya ya uzazi, elimu ya kujitambua na elimu ya kiuchumi ili kupunguza maambukizi ya Virusi Vya UKIMWI.

Audio Credit
Tatu Mwambungu
Audio Duration
2'50"
Photo Credit
UN